Hospitali ya Alexia iliandaa zoezi la ufanyaji tohara bure kwa watoto wa kiume siku ya Ijumaa, tarehe 15 Septemba 2023.
Hospitali ya Alexia iliandaa zoezi la ufanyaji tohara bure kwa watoto wa kiume siku ya Ijumaa, tarehe 15 Septemba 2023.
Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kuwa sasa unaweza kurudishwa hadi mlangoni kwako BURE baada ya kupata huduma ya matibabu ya kulazwa. Usipate mawazo ya jinsi utafika nyumbani baada ya kuruhusiwa kuondoka wodini, tupo kwa ajili yako. Tunakupenda, tunakujali na tunakuthamini, karibu […]
Alexia Hospital, Neema ministries & Nasimama na binti walifanikisha ugawaji wa taulo za kike, vifaa vya michezo, neti na mashine za kupimia sukari kwa wahitaji zoezi lililofanyika kwa mafanikio.
The hospital donated chairs, desks and computers to the Local Government Authority (LGA) office at Toangoma.
Watoto wa kike wengi wamekua wakikosa masomo kipindi wanapokua katika siku zao. Katika siku ya maadhimisho ya mtoto wa kike duniani mwezi Oktoba 2021, tulishirikiana na Victoria foundation kuchangia taulo za kike kwa watoto wa kike waliopo mashuleni kwani watoto […]
Jamii ya watu wengi wenye hali ya kipato cha chini wamekua wakipata changamoto ya kumudu gharama za matibabu. Katika kuliona hilo tumeona tuanzishe mfumo wa kadi maalumu (VOUCHER ZA MATIBABU) zinazo tumika katika vituo vyetu tu, ili kuwawezesha wao kutibiwa […]
In a bid to enhance road safety Alexia is embarking on a project to buy reflector jackets for the boda boda riders around our area as part of our giving back to the community.
Mwezi wa 4/2019 tulizamini ligi ya mpira wa miguu iliyodumu kwa miezi miwili, ilishindanisha timu 16 kutoka katika mitaa yote ya kata ya Toangoma. Zawadi zilizotolewa 1.Mshindi wa kwanza alipata Jezi Seti mbili, Mbuzi mmoja, na pesa kiasi cha laki […]