Katika jitihada za kuijenga jamii na kusaidia kukua shughuli za kiuchumi hospitali ya Alexia imetoa msaada wa pikipiki 10 kwa vijana ili ziweze kuwasaidia wajiendeleze kiuchumi.
Katika jitihada za kuijenga jamii na kusaidia kukua shughuli za kiuchumi hospitali ya Alexia imetoa msaada wa pikipiki 10 kwa vijana ili ziweze kuwasaidia wajiendeleze kiuchumi.
Hospitali ya Alexia katika kuhakikisha jamil nzima inayotuzunguka Inapata huduma bora za matibabu ya kiafya imekuja na mpango/kifurushi maalumu cha punguzo la bei kwa ajili ya wazee. Huduma Zinazopatikana NB: Huduma za kumuona daktari bingwa, mzee atalipia bei pungufu WASILIANA […]
Hospitali ya Alexia katika kuhakikisha jamil nzima inayotuzunguka Inapata huduma bora za matibabu ya kiafya imekuja na mpango/kifurushi maalumu cha punguzo la bei hadi 50%) kwa ajili ya wanafunzi wote kuanzia darasa la awali mpaka sekondari chini ya miaka 18. […]
Hospitali Alexia katika kuthamini mchango wa michezo kwa vijana na kushirikiana na Hatua Initiative wametoa msaada wa vifaa vya michezo. Michezo ni moja kati ya njia nzuri za kujenga afya na sisi kama hospitali kazi yetu kuu ni kuhakikisha jamii […]
Hospitali ya Alexia ni sehemu ya jamii ya Toangoma na maeneo ya karibu, kama hospitali tunajali usalama wa wanachi na mali zao. Ili kuimarisha ulinzi na usalama wa wananchi wa Toangoma, uongozi wa Alexia umetoa msaada wa REFLECTORS kwa ulinzi […]
Hospitali ya Alexia iliandaa zoezi la ufanyaji tohara bure kwa watoto wa kiume siku ya Ijumaa, tarehe 15 Septemba 2023.
Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kuwa sasa unaweza kurudishwa hadi mlangoni kwako BURE baada ya kupata huduma ya matibabu ya kulazwa. Usipate mawazo ya jinsi utafika nyumbani baada ya kuruhusiwa kuondoka wodini, tupo kwa ajili yako. Tunakupenda, tunakujali na tunakuthamini, karibu […]
Alexia Hospital, Neema ministries & Nasimama na binti walifanikisha ugawaji wa taulo za kike, vifaa vya michezo, neti na mashine za kupimia sukari kwa wahitaji zoezi lililofanyika kwa mafanikio.
The hospital donated chairs, desks and computers to the Local Government Authority (LGA) office at Toangoma.
Watoto wa kike wengi wamekua wakikosa masomo kipindi wanapokua katika siku zao. Katika siku ya maadhimisho ya mtoto wa kike duniani mwezi Oktoba 2021, tulishirikiana na Victoria foundation kuchangia taulo za kike kwa watoto wa kike waliopo mashuleni kwani watoto […]