Jamii ya watu wengi wenye hali ya kipato cha chini wamekua wakipata changamoto ya kumudu gharama za matibabu. Katika kuliona hilo tumeona tuanzishe mfumo wa kadi maalumu (VOUCHER ZA MATIBABU) zinazo tumika katika vituo vyetu tu, ili kuwawezesha wao kutibiwa […]