Urembo wa meno (Dental gems) ni nini? Ni aina ya urembo unaowekwa kwenye meno kwaajili ya kupendezesha tabasamu lako. Faida za kuweka dental gems Je unaweza kukaa na dental gems kwa muda gani? Dental gems hukaa katika meno kwa muda […]
Urembo wa meno (Dental gems) ni nini? Ni aina ya urembo unaowekwa kwenye meno kwaajili ya kupendezesha tabasamu lako. Faida za kuweka dental gems Je unaweza kukaa na dental gems kwa muda gani? Dental gems hukaa katika meno kwa muda […]
Utunzaji wa afya ya kinywa na meno ni nini? Ni hali ya kuhakikisha kinywa chako kinakua safi bila kuwa na uchafu wowote/mabaki ya chakula kwa wakati wote. Namna ya kutunza kinywa na meno kwa ujumla Ili kuweka kinywa katika hali […]
Katika kuboresha huduma zetu za wagonjwa wa ndani (inpatient services) hospitali ya Alexia imeleta wadi za VIP. Wadi hizi zimebuniwa ili kufanya wagonjwa wajisikie wapo nyumbani wakati wa matibabu. Wadi hizi zina huduma za ziada zifuatazo: Chumba cha mgonjwa mmoja […]
Hopitali ya Alexia Medical kupitia kitengo chake cha neonatal Intensive Care Unit (ICU) kinatoa huduma ya phototherapy inayosaidia kutibu homa ya nyongo ya manjano katika watoto wachanga “jaundice in newborn babies”
Ratiba ya madaktari bingwa katika hospitali ya Alexia
We provide emergency transport in and out of Dar es salaam at affordable prices. Call us on +255 677 026 563 More information about our emergency department can be found on this page.
The hospital donated chairs, desks and computers to the Local Government Authority (LGA) office at Toangoma.
Kunapokuwa kumetokea mabadiliko yasiyo ya kawaida (mutation) kwenye chembe chembe hai zilizopo kwenye mlango wa shingo ya kizazi (Cervix) ndio huitwa saratani ya shingo ya kizazi. Shingo ya kizazi (cervix) ni kiungo cha mwilini mwa mwanamke kinachopatikana sehemu ya chini […]
Watoto wa kike wengi wamekua wakikosa masomo kipindi wanapokua katika siku zao. Katika siku ya maadhimisho ya mtoto wa kike duniani mwezi Oktoba 2021, tulishirikiana na Victoria foundation kuchangia taulo za kike kwa watoto wa kike waliopo mashuleni kwani watoto […]
Jamii ya watu wengi wenye hali ya kipato cha chini wamekua wakipata changamoto ya kumudu gharama za matibabu. Katika kuliona hilo tumeona tuanzishe mfumo wa kadi maalumu (VOUCHER ZA MATIBABU) zinazo tumika katika vituo vyetu tu, ili kuwawezesha wao kutibiwa […]