Fainali ya Alexia Supercup mwaka 2025 imekuja kivingine kwa kujikita kwenye kutoa huduma za afya bure siku nzima huku michezo na burudani ikiendelea. Jumamosi ya tarehe 13/09/2025 katika viwanja vya Masuliza Toangoma kulifana sana. Mgeni mualikwa alikuwa Bw. Kakulu Burchad […]








